NAFASI ZA KAZI WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika anawatangazia Watanzania wote wenye sifa zilizoanishwa hapa chini watume barua za maombi ya kazi zifuatazo.

1. Afisa Utafiti Kilimo Daraja la II (Agricultural Research Officer II) Nafasi 70

(a) Sifa za waombaji Wawe wamehitimu Shahada ya Kilimo (Bsc Agriculture General), Uchumi Kilimo, Uhandisi Kilimo, Food Science and Technology, Biotechnology Laboratory Sciences, Agronomy,Bsc Environmental Science na Horticulture kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

(b) Majukumu

Ø
Kusaidia kukusanya na kuandika ripoti za utafiti chini ya maelekezo ya Afisa Utafiti Kilimo Mwandamizi.
Ø Kukusanya, kurekodi na kuchanganua takwimu za kazi za Utafiti zinazoendelea.
Ø Kusaidia katika kuendesha semina na kuwaelekeza wakulima jinsi ya kutumia teknolojia mpya kwa kuzingatia hali ya uchumi na mazingira yake. Ø Kutoa ripoti ya maendeleo ya Utafiti na mapendekezo ya Utafiti katika Mikutano ya kanda.
Ø Kufanya shughuli za Utafiti chini ya maelekezo na uangalizi wa Afisa Utafiti Kilimo Mwandamizi.
Ø Pamoja na kazi nyingine za Utafiti kama atakavyopangiwa na kiongozi wake wa kazi.

(c) Mshahara
Ø Mishahara ya Watumishi wa Serikali ngazi ya TGRS A.

2. Mhandisi Kilimo Daraja la II (Agro Engineer II). Nafasi 88

Waombaji watakaochaguliwa watapangiwa kazi Wizara ya Kilimo chakula na Ushirika na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

(a)
Sifa za waombaji

Ø Wawe wamehitimu Shahada ya Uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya Kilimo, Umwagiliaji,Ujenzi,Ufundi na Mazingira kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali

(b) Majukumu
Ø
Kuandaa program za mafunzo kwa wakulima kutumia zana za Kilimo
Ø
Kushirika katika kufundisha wakulima na matumizi bora ya zana.
Ø
Kushiriki katika ujenzi wa miradi ya Umwagiliaji
Ø
Kushiriki kutengeneza michoro/ramani za umwagiliaji.
Ø Kukusanya takwimu za miradi ya umwagiliaji
Ø
Kufuatilia program za mafunzo ya wanyamakazi mafundi wa matrekta wa wakulima jinsi ya matumizi ya wanyama kazi na matrekta
Ø Kushiriki kuratibu na kutoa huduma za umwagiliaji pamoja na matumizi ya maji. Ø Pamoja na kazi zingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
Ø
Kupitia mapendekezo ya miradi mbalimbali ya ufundi yanayowasilishwa Wizarani.
Ø Kusimamia mikataba ya ujenzi/ukarabati wa miundombinu ya umwagiliaji.
Ø Kushirikiana na mafundi sanifu kuwafundisha wakulima uendeshaji wa skimu za umwagiliaji

(c)
Mshahara
Ø
Mishahara ya Watumishi wa Serikali ngazi ya TGS E.

3. Afisa Kilimo Daraja la II (Agro – Officers II) Nafasi 378
Waombaji watakaochaguliwa watapangiwa kazi Wizara ya Kilimo chakula na Ushirika na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
(a) Sifa za waombaji
Ø
Wawe wamehitimu Shahada ya Sayansi Kilimo (Bsc.Agriculture General,Bsc.Horticulture,Bsc.Agronomy,Bsc.Environm ental Sciences) na Mazingira kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

(b) Majukumu
Ø
Kudhibiti visumbufu vya mazao na mimea Ø Kukusanya takwimu za bei za mazao kila wiki na kila mwezi
Ø Kukusanya takwimu za upatikanaji wa mazao katika masoko kila wiki/mwezi
Ø Kuendesha mafunzo ya wataalamu wa Kilimo
Ø
Kufanya ukaguzi wa ubora na matumizi ya pembejeo na zana.
Ø Ufuatiliaji wa mwenendo wa soko la mazao ya biashara
Ø
Kuendesha mafunzo juu ya hifadhi bora ya udongo na maji
Ø
Kutoa habari juu ya teknolojia mpya kwa wadau
Ø Kuandaa/ kuandika taarifa za utekelezaji kwa sekta ndogo ya mazao.
Ø Kusimamia/kuendeleza taaluma ya uzalishaji mboga, matunda, maua na mazao mengine.
Ø Kusimamia/kuendeleza uzalishaji wa mbegu bora
Ø Kuandaa, kutayarisha, kufunga na kusambaza mbegu bora
Ø
Kufanya ukaguzi wa mbegu mpya kwa kushirikiana na Watafiti wa mbegu kabla kupitishwa
Ø
Kuendesha mafunzo ya kuzalisha mbegu matunda, maua na viungo
Ø
Kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya bustani
Ø
Kufanya utafiti mdogo mdogo wa mazao yanayofaa kulimwa katika sehemu ya Kilimo cha Umwagiliaji.
Ø Kufanya utafiti wa udongo
Ø
Kuhamasisha uanzishaji wa vikundi vya wakulima/ wamwagiliaji
Ø
Kuzalisha mbegu za msingi baada ya kuzalishwa na watafiti
Ø
Kuendesha/kusimamia vishamba vya majaribio vya mbegu na uchunguzi maabara ili kuondoa utata juu ya mbegu.

(c) Mshahara Mishahara ya Watumishi wa Serikali ngazi ya TGS D.

4.
Mkufunzi Kilimo Daraja la II (Agricultural Tutor II) Nafasi 38
Waombaji watakaochaguliwa watapangiwa kazi ya kufundisha katika vyuo vilivyo chini ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.

(a) Sifa za waombaji Wawe wamehitimu Shahada ya kwanza yenye mwelekeo wa Kilimo (Bsc.Agriculture General,Bsc.Agricultural Engineer,Bsc. Agronomy, Bsc.Irrigation Engineer) kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo- Sokoine au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

(b) Majukumu
Kufundisha kozi za stashahada na astashahada za kilimo nadharia na vitendo
Ø Kuandaa mtiririko na mpangilio wa masomo (Lesson Sequences and Plans)
Ø
Kusoma na kuelewa vema mihutasari ya mafunzo na kuitafsiri kwenye masomo
Ø Kuandaa na kufundisha kozi za wakulima
Ø
Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza
Ø Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao.
Ø Kupima maendeleo ya wanachuo kwa kushirikiana na Maafisa Kilimo wa Wilaya/Viwandani wakati wa mafunzo kwa vitendo (Field Practicals).
Ø
Kutekeleza shughuli nyingine za kikazi kadri atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

(c) Mshahara
Ø Mishahara ya Watumishi wa Serikali ngazi ya TGS D. Waombaji wote katika barua zao ni lazima waonyeshe sehemu ambayo wangependa kupangiwa kwa nafasi zile zinazohusisha zaidi ya wizara moja. Hata hivyo uamuzi wa mwisho juu ya vituo ni wa mwajiri/ Mamlaka za ajira ambako nafasi zinapatikana. \

MAMBO YA KUZINGATIA Barua za maombi ziambatane na Curriculum Vitae (CV), picha ndogo mbili ukubwa wa pasipoti, cheti cha kuzaliwa, vivuli vya vyeti vya kuhitimu elimu ya sekondari na Shahada husika . Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45. Wahitimu walioajiriwa Serikalini hawaruhusiwi kuomba nafasi hizi kwasababu tayari wana ajira Wahitimu waliotuma maombi yao kabla ya tangazo hili wanashauriwa kutuma maombi upya. Barua zote za maombi ziwasilishwe katika muda wa siku 14 kuanzia tarehe ya kwanza ya kuonekana tangazo hili. Tangazo hili linapatikana pia kwenye tovuti ya Wizara, Tanzania -- Ministry Of Agriculture, Food and Cooperatives- Home Page Barua za Maombi zitumwe kwa:

Katibu Mkuu,

Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika,
S.L.P. 9192,
DAR ES SALAAM.
NAFASI ZA KAZI WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA NAFASI ZA KAZI WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA Reviewed by Unknown on 12:03:00 AM Rating: 5

No comments:

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.